Information

Social Share

K&K Group Ltd

Updates

  • Kadama Magesse Kadama
    Kadama Magesse Kadama: We are supplying solar products in Kigoma, Kagera, Mwanza and Musoma in villages, towns and forests. Since February 2011, more than 200 homes, 30 businesses, 15 hospitals, 7 churches and 550 children are still benefiting from our services. Our target is s...  more
    August 18, 2011
  • Kadama Magesse Kadama
    Kadama Magesse Kadama: We are fighting global poverty and climate change through solar power. We deliver products and services beyond charity.
    August 18, 2011
  • Kadama Magesse Kadama
    Kadama Magesse Kadama:
    August 9, 2011
  • Kadama Magesse Kadama
    Kadama Magesse Kadama: Your home needs light.
    August 9, 2011
  • Kadama Magesse Kadama
    Kadama Magesse Kadama: Kwa mahitaji yako ya sola, tunapatikana kanda ya ziwa, mijini, vijijini na porini kuwafikishia huduma wateja wetu.
    August 8, 2011
  • Kadama Magesse Kadama
    Kadama Magesse Kadama: Tunaweza kukutumia bidhaa ya chaguo lako hadi ulipo katika muda muafaka mara tu baada ya kuthibitisha kupokea kutoka kwako malipo ya bei na nauli ya usafirishaji wa mzigo.
    August 8, 2011

Info

Basic Information

Basic Information

  • Posted By: Kadama Magesse Kadama
  • Posted: Aug 08, 2011
  • Last Updated: Aug 18, 2011
  • Views: 636
  • Likes: 4
  • Category: Electronics
  • Tags: #Solar Systems
  • Description: We are supplying solar products in Kigoma, Kagera, Mwanza and Musoma regions in Tanzania in villages, towns and forests. Since February 2011 to August 2011, according to our inventory turnover, more than 200 homes, 30 businesses, 15 hospitals, 7 churches and 550 children are still benefiting from ou...  more

Contact Details


0 comments

Overview

K&K Group Ltd's Overview

Je unahitaji taa ndogo ya sola kwa matumizi ya kupata mwanga wa kusomea, ofisini, nyumbani, dukani, safarini, kazini au kuchaji simu?

Bidhaa zetu zina bei nafuu na maradufu zaidi. Bei zetu zinaanzia Sh. 26,000/= hadi Sh. 189,000/= kutegemea na chaguo lako.

Tunahakikisha kila mtu, mtoto wa shule, familia, duka/biashara, ofisi, hospitali, zahanati, shule, kanisa/msikiti, kambi na mwanafunzi anapata angalau taa moja ya sola kwa bei nafuu kwa matumizi ya kupata mwanga katika shughuli zake.

Bidhaa zetu ni bora kutoka India, Ujerumani na China kupitia Dar es Salaam. Hatuuzi bidhaa feki.

Tunaweza kukutumia bidhaa ya chaguo lako hadi ulipo katika muda muafaka mara tu baada ya kuthibitisha kupokea kutoka kwako malipo ya bei na nauli ya usafirishaji wa mzigo.

Bidhaa zetu zimesaidia na zinaendelea kusaidia watanzania wengi.

TUPIGIE SIMU SASA!

KARIBU SANA!

KWA MAHITAJI YAKO

WASILIANA NASI KUPITIA:

 

Mkurugenzi Mtendaji

Kadama M. Kadama

Simu: 0788008855/0756008855

Baruapepe: klmkadama@gmail.com

 

Mauzo na Usambazaji

Joseph M. Kadama

Simu: 0762751710/0655651710

Baruapepe: jmkadama@gmail.com